Mungu anasema “Enyi Watu, nawaita ninyi; Na sauti yangu ni kwa wanadamu”(Mithali 8: 4). Hivyo ni kusudio la Somo Hili kuongeza ufahamu wako ili uweze kujua ni kwa namna Gani Mungu huzungumza na mwanadamu na kisha Nini ufanye ili kumuelewa Mungu anapozungumza na wewe. Tải ứng dụng Hii Upate kuisikiliza Sauti ya Mungu.